FUNDISHO JUU YA SABATO NA UBATIZO
USALAMA WA IMANI YAKO NI KUHAKIKISHA IMANI YAKO HAIVURUGWI NA MAJIRA NA NYAKATI.....WALA JAMBO LIWALO LOTE.....
Vita ya sheria na vita ya nyakati aliimaliza Yesu Kristo..na hii ilifanyika ili kiwaokoa watu wampendao Mungu na mbinu za shetani kama alivyo onesjwa daniel..kuwa huyo mnyama atafanya vita na watakatifu..kwa kubadiri sheria na nyakati....lakini Kristo alitoa ukombozi kwa watu...wale wampendao...
Kuna mambo kadhaa napenda tu kuyasema hapa..ili kuwa msaada kwetu...hasa kwa ambao tunamwamini Kristo na kumtegemea ya kuwa yeye ndiye mkombozi wetu....
🕊YUDA KUMSALITI YESU ILIONEKANA KAMA NI KOSA KUBWA...SANA..LAKINI HII ILISAIDIA..KWELI YA MUNGU KUTIMIA.....NA ILIFANIKISHA MPANGO WA SADAKA YA KWELI KUTOLEWA SAWASAWA NA ILIVYO TAKIWA KUTOLEWA NASI HATA SASA TUMEWEKWA HURU......
🕊KITENDO CHA WAYAHUDI KUMUUA YESU KINAWAONESHA KANA KWAMBA WAO HAWAMTAKI MUNGU...LAKINI KINATUONESHA NA KINATUPA MLANGO MKUBWA NASI KUINGIA KATIKA AGQNO NA MUNGU...NA HII KINADHIHILISHA KUWA MUNGU SI KWA AJILI YA ISRAEL TU..BALI NI KWAAJILI YA WATU WOTE..HIVYO ISIFIKE SEHEMU MTU AKAJIDAI KUWA MUNGU NI KWA AJILI YA WATU FULANI..TU...(sisi tukisema tumepokea Yesu lakini swali je..mbona zamani hamkumpokea...?na wayahudi wakisema sisi ndo tunamjua Mungu..swali je mbona mlimwuua kwa kumpinga)..hivyo hii ilileta ukurasa mpya...kabisa kwa pande zote mbili... 🕊Kwanini kunamakanisa mengi...leo...na yote kila kanisa linaugomvi na kanisa lingene..na wote wanatangaza kuwa wao ndo wanampenda Mungu...lakini tofauti zao..chanzo ni Kristo..tu...??!!
Hii ikuoe picha..na hii ilitokea ili kuhakikisha kabisa hakuna mtu ambae yeyz ndiye sahihi..pia hakuna dini ama dhehebu ambalo lenyewe ndilo sahihi..kabisa..katika kumpenda Mungu..na kumfuata Mungu...na kwa sababu hiyo..tukijalibu tu kumfuata Kristo kwa taratibu za kidini...hatutaweza...zaidi tutajikwaa..na kila siku madhehebu yataongezeka....tu hadi siku Yesu anarudi atatukuta..tupo na mijadala ya kidhehebu..na kidini...
Na kama tukisema..tuziangalie sheria walizopewa wayahudi..kipindi kile...bado tutamfanya Mungu ya kuwa ni wawayahudi..tu...
Yesu Kristo alisema..hivi njoni kwangu ninyi nyote..wenye kulemewa na mizigo nami nitawapumzisha.....jivikeni nira yangu..maana nira yangu ni raini..na jitwikeni mzigo wangu..maana mzigo wangu ni mwepesi....
Sabato ni siku ya kupumzika..na ilikuwa ni siku ya saba hata kama mtu alikuwa ni mtumwa alipumzishwa na sabato...lakini..siku zingine..aliingia katika majukumu mazito ya utumwa...sasa Yesu Kristo ni sehemu ya kupumzikia/kupumzishwa anajiita mpumzishaji..na anatangaza kuwa wale wanao taka kupumzika..wasogee na kumfikia yeye...na akasema..yeye ndiye sabato wa kweli......HII INAMAANA GANI...?..INAMAANISHA KUWA BADALA YA KUSUBIRIA SABATO NDIPO UPATE PUMZIKO..NA KUSHIKA SHERIA..YA SIKU...SASA ISIKUSUMBUE...MSHIKE YEYE TU...KUWA KRISTO NDILO PUMZIKO LANGU....IWE JUMATATU AU JAMAMOSI AU IJUMAA..MIMI NIKIWA NA KRISTO SIKU ZOTE NINALO PUMZIKO LA KUPOKELEWA MIZIGO YANGU.....MILELE.. Wao walibadirisha siku..wakijua..wana weza tupotosha...kwa hila zao..lakini..ilitakiwa itokee kuwa siku ibadirishwe...ili heshima ya sabato wa kweli..ijulikane....YESU KRISTO NDIYO SABATO YA KWELI....
maana sasa si zamani za kale..ambazo Mungu alionekana kwa ishala..na katika siku..au katika milima..bali..ni nyakati ambazo Mungu amejidhihirisha kwetu wazi kabisa..katika uhalisia....hivyo tunapo ongelea saba..siyo siku tena..na tunaongelea..Kristo..halisi....
SII TETEI SIKU YA JUMAPILI...WALA SIITETEI SIKU YA SABATO..WALA SIITETEI SIKU YA IJUMAA...BALI..MIMI NASIMAMA NA YESU KRISTO KUWA NI SABATO YANGU...YA KWELI..KWAKE..NAPATA PUMZIKO KILA SAA NA KILA WAKATI NINAPO KUWA NAE....(WEWE SUBIRI HIYO SIKU NDO UPATE PUMZIKA) MIMI SINA SIKU..WALA SISUBIRII SIKU...
Soma hii katika kitabu cha wagalatia...4:8-11 inasema *Lakini wakati ule,kwa kuwa hamkumjua Mungu,mliwatumikia wao ambao kwa asili si miungu..Bali sasa mkiisha kumjua Mungu,au zaidi kujulikana na Mungu, kwa nini kuyarejea tena mafundisho ya kwanza yaliyo manyonge,yenye upungufu,ambayo mnataka kuyagumikia tena...?MNASHIKA SIKU, NA MIEZI, NA NYAKATI, NA MIAKA...Nawachelea,isiwe labda ni nimejitaabisha bure kwa ajili yenu.*
Huyo ni paulo..anasisitiza juu ya imani ya hawa watu..kuwa wasizitukie..siku wala wasiendelee kushikiria mafundisho ya zamani..ya kushika siku..sahihi..au miezi sahii..au miaka sahihi..maana ukisha kuwa ndani ya Kristo...wewe ni wamilele...hauna mwisho wala hauna mwanzo...na ukisha kuwa na Kristo yatosha kumwamini na kumtukuza yeye kila saa kila siku..na kila wakati...hauhitaji tena kusubiri..msimu fulani..hivi ndipo umtukuze..au ndipo ufanye..ibada...ni wakafi wowote..tu..maana anaishi ndani yako...hivyo ukijisikia..tu na kusukumwa kumshangilia mshangilie...maana upo naye moyoni mwako....
Usifanye..vita..na mtu awaye yote..kwa kuangalia..sheria...inasemaje..angalia..Imani..inasemaje....sheria inasema..siku ya saba ndo sabato...lakini maana..ya siku ya sabato..ni Pumziko la Mungu...na Kristo ndilo pumziko..kwa lugha ya imani..hivyo ukimshika Kristo...kwa imani..tunasema unatimiza sabato ukishika jumapili kuwa ndo pumziko...tunasema bado upo na lugha ya sheria...ya kushika siku ya sabato na siyo imani hiyo...bari ni sheria
Karibuni kwa maswali...hasa kama unatatizwa na mapokeo..ya imani fulani...na yanaipa imani yako kuyumba...imani yako inakosa nguvu..na kukunyima ujasiri wa kusema unaye Kristo moyoni mwako....
Muuliza njia siyo mjinga....unaweza kaa na jambo ambalo ni zito kwako..ukasema.nitalibeba..tu..kumbe hujui tu kuwa yupo Yesu Kristo apumzishae...atachukua hicho kizito atakupa..kilicho chepesi..tu..na maisha na safari inasonga mbele
Sabato ya kweli..ni Yesu Kristo...
Maana sabato kwa maana ya kiimani..siyo siku bali ni Yesu Kristo... Mungu aliitumia siku ya saba..kukagua kazi yake..na anaona ni bora..sana..akaitakasa...na akaitukuza akapumzika...maana alipo ona mambo yote hayahitaji kubadirishwa au kufanyiwa maboresho na mabadiriko..aliridhika akaoumzika....hilo ni agano la kale..(hiyo ni lugha ya sheria..) katika agano jipya...( lugha ya neema.....ya Imani...) Mungu anakagua kazi yake..kwa kuwango..au kwa kumwangalia..Kristo...na ndiyo maana..Mungu anapumzika..na kuridhika na maisha yetu anapo mwangalia Kristo...na hii ndiyo inayo mpa Kriwto heshima..kuu mbele za Mungu..na ndiyo maana Biblia inasema..Kristo anastahiri mbele za Mungu...ametakaswa na kuwekwa wakfu...na Mungu..kwa ajili ya kazi zote za Mungu...leo Mungu haangalii jumapili..au jumamosi..ili kulidhika na moyo wako..na jambo lolote..anamwangalia Kristo....tu
Mungu ametupa neema hii ya kujua siri hizi...na kweli...karibu sana..kwa maswali...au jambo lolote...hapa ni kujifunza kweli ya Mungu...ili kumweka mtu huru...
Tunapo..sema kubatizwa...kwa Lugha ya imani..(ni kuitwa kwa/ kuwekewa alama) ni ishara ya nje..inayo onesha maana ya kitu fulani...(mfano tunapompa ntu jina..tunambatiza/kumtambulisha kwa jina la....)
Marko 16:15-16... *Akawaambia enendeni ulimwenguni mwote,mkahubiri Injili kwa kila kiumbe..Aaminiye na KUBATIZWA ataokoka;asiye amini atahikumiwa.* na kumi na saba..anasema *Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio;kwa jina langu watatoa pepo;watasema kwa lugha mpya; 18 watashikq nyoka;hata wakinywa kitu cha kufisha,hakitawadhuru kabisa;wataweka mikono yao juu ya wagonjwa,nao watapata afya...*
Kuokoka..ni kipona..au kuokolewa.(kiimani) ni kuokolewa kule kutoka katika maisha ya utengano na Mungu..na kuingizwa katika maisha ya kuishi pamoja na Mungu kwa ushirikiano na Mungu....
Na tunapo sema kubatiza..ni kutambulisha rasimi..mtu yule ambaye ameamini habari za injili ya Yesu Kristo tuliyo mhubiria..au aliyo isikia..kutoka kwetu....
Kutamburishwa huku kwa mtu aliye amini kunamfanya ajulikane..rasmi..na kupata haki..na kibari cha kuacha kufanya mambo kadha wa kadha kwa kutumia jina la Yesu Kristo..pia kunampa ulinzi na uhakika wa kulindwa na nguvu ya Mungu inayo walinda wanadamu...wote wale ambao wana mahusiano halali..au rasimi na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo...
Asante..nami nafurahi kwa kusikia hivyo....
*ubatizo ni kufanya utambulisho..tu..*
Na ndiyo maana...ukisoma kitabu cha luka utakutana na ubatizo wa yohana...pia ukisoma kitabu cha kutoka utakutana na ubatizo wa wingi...(ubatizo wa Mussa) na huku kwetu (agano jipya) utakutana na habali za ubatizo wa Yesu Kristo (ubatizo wa Roho Mtakatifu/mfano wa moto)
Kipindicha Mussa wana waisraeli walijulikana kuwa ni watu wa mussa kwa kufunikwa na wingu..pale baharinii...wingu lili watenga wakapona....(kuhesabika ni wa Mungu wanaostahiri kusaidiwa)...kipindi cha yohana...watu wale tu..walio batizwa na yohana kwa maji..ndio walio tambulika na Mungu kuwa wamemwamini Mungu...kwa mafundisho ya yohana kwamba wameamua kutengeneza mapito na njia ya Bwana....na Kwa habari za Yesu Kristo Roho Mtakifu..ndiye asimamae kututambulisha/utambulisho wetu mbele za Mungu ni Roho Mtakatifu....
Hayo maji..na mambo mengine..ni dalili za nje..tu..na namna ambavyo watu wanajaribu kufanya yale yaliyo fanya..kipindi hicho....na siyo vibaya...lakini...lazima kutambua..na ndo maana yohana akasema..wazi kuwa mimi nawabatiza kwa maji..lakini ajae atawabatiza kwa moto na Roho Mtakatifu....
Maombi yangu ni kuwa kike tunajifunza humu..basi zushirikiane kukifikisha na kwa wenzetu huko duniani kote.....
Ushuhuda Wangu wa Kutoka Moyoni 💖
ReplyDeleteBaada ya baba yangu mdogo kuniacha kwa miezi saba mirefu, nilikuwa nimevunjika moyo kabisa. Alinizuia kwenye mitandao yote ya kijamii, akaondoka, na hakukuwa na njia ya kumfikia. Karibu nikate tamaa, lakini ndani kabisa nilijua singeweza kupata mtu yeyote ambaye angenipenda na kunitendea jinsi alivyonitendea.
Siku moja, bosi wangu kazini aligundua jinsi nilivyokuwa na huzuni na akanitambulisha kwa Dkt. Dawn. Dkt. Dawn alisikiliza hadithi yangu na akaahidi kwamba mpenzi wangu angerudi kwangu ndani ya siku tatu. Kwa kweli, sikuamini mwanzoni—lakini kwa mshangao wangu mkubwa, siku ya tatu simu yangu iliita. Ilikuwa yeye! Alikuwa akilia na kuomba msamaha, akisema hataniacha tena.
Tangu siku hiyo, uhusiano wetu umekuwa na nguvu na uzuri zaidi kuliko hapo awali. Amekuwa akipenda na kunijali mimi na mtoto wetu, na sasa tunafunga ndoa katika miezi miwili tu! ❤️
Shukrani zote kwa Dkt. Dawn, ambaye kwa kweli alifanya jambo lisilowezekana liwezekane. Ninampendekeza kwa moyo wote kwa yeyote anayekabiliwa na changamoto katika:
Masuala ya uhusiano au ndoa
Ugonjwa au magonjwa
Matatizo ya utasa au bahati nasibu
Kesi za mahakamani au urejeshaji wa mali
Dkt. Dawn kweli hutatua matatizo kwa ufanisi na hurudisha furaha katika maisha ya watu.
Wasiliana na Dr. Dawn kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com