UMUHIMU WA IBADA
IBADA...IBADA...IBADA... ~Ibada..huleta majibu..ya maswali...yetu yote... ~Ibada huleta...muunganiko wa nguvu..kiungu...na Mungu..na hatimaye..kutupa..kuganikiwa... ~Ibada..huleta..amani..na furaha..na matumaini...mapya...tena.. ~Ibada...huleta...kila..miujiza..tunayo ihitaji..katika maisha.. ~Ibada...huleta..maisha..na huamua..maisha..yate yaweje... Katika maisha ya mwanadamu..jambo moja..tu lenye maana..na lenye umuhimu..sana..kuliko.yote..ni IBADA... Bora ukosee sehemu zingine zote..lakini..usikosee wenye..IBADA.... Kosea..mambo yote..lakini...usikubali..kukosea...IBADA Ngoja..niseme..kwa hivi...ili tuelewane...biblia..inasema..hivi... 1timotheo 2:1-3 *Basi kabla ya mambo yote nataka dua na sala na maombezi na shukurani zifanyike kwa ajili ya watu wote...kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka tuishi maisha ya utulivu na amani..katika utauwa(uungu) wote na ustahivu...Hili ni zuri nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu. * PIA Wafipi 4:4-7 *Furahini ka...