Posts

Showing posts from May, 2018

IJUE IBADA-SEHEMU YA KWANZA

SOMO LETU LA SASA..NI IBADA.. JE! IBADA NI NINI....? ~ Lengo la somo ni kuimarisha uhusiano wetu na Mungu... ~ Kujifunza na kumjua Mungu,ili kuweza kumwabudu kwa uhakika na kwa Imani... Mathayo 4:10 *Ndipo Yesu alipo mwambia,Nenda zako,Shetani;kwa maana imeandikwa,Msujudie Bwana Mungu wako,umwabudu yeye peke yake.* pia..ukisoma Kumbukumbu la torati 6:10-14  lakini 12&13 inasema... *Ndipo ujitunze,usije ilukamsahau BWANA aliyekutoa nchi ya misri,nyumba ya utumwa.Mche BWANA,Mungu wako;ndiye utakaye mtumikia,na kuapa kwa jina lake.* ~ Kuna maswali mengi sana..ambayo yanahitaji ufafanuzi wa kina..juu ya ibada.... Maana lazima tujue..IBADA NI NINI...?? KWA NINI TUNATAKIWA TUFANYE IBADA??..NI WAKATI GANI...YATUPASA KUFANYA IBADA...?..JE! NINI KANAFANYIKA AU KINATAKIWA KUFANYIKA ILI NDO IBADA IKAMILIKE...?... ~ Somo hili si kwa wale..ambao wameokoka tu au kwa watu wa kanisa na dini fulani..ila ni kwa watu wote...maana majibu ya maswali hayo hapo juu..yanawza kutusaidia kuju...

SALAMU ZANGU ZA LEO

BWANA YESU KRISTO ATUKUZWE SANA.... Ni matumaini yangu, kuwa unaendelea vyema katika kukua na kumjua Christo. N amtukuza MUNGU kwa ajiliyako, pia kwa nafasi hii ambayoamenipa ya msingi. Napenda kushirikishana nawe na kukuhimiza zaidi juu ya safari hii ya Imani tuliyo nayo juu ya mabo kadhaa muhimu kama ifuatavyo;   (01)1petro 2:9, Moja kati ya nafasi muhimu ambayokila Mwana wa MUNGU anapaswa kuifahamu, ni Ukuhani wa Kifalme. -Kuhani maana yake kiongozi wa taratibu za kiibada au ni mtu ambaye anawaongoza watu wadumu  katika mambo yamuhusuyo MUNGU. Ebrania 5:1 -Mfalme ni kiongozi aneyetawala  kwa njia ya/au kulingana na sheria ,kanuni, na taratibu za nchi au jamii fulani ya watu au mahali husika. -Siri hiinapenda uifahamu maana kanisa limekosa kuifahamu na linashindwa  kuishi maisha ya ushindi. Ndugu katika BWAN, napenda kwanzia leo ufahamu wajibu huu na siri hii, ISHI KAMA KUHANI PIA KAMA MFALME, katika eneo lolote ulipo.  (02)Zaburi 82:6 Sisi ni miung...